Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeipongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kazi nzuri iliyofanya ya ujenzi wa jengo la makumbusho ya kisasa katika Bonde la Olduvai ya Gorge ambako ni chimbuko la historia ya Binadamu. Kamati hiyo imesema imeridhishwa na ujenzi wa jengo hilo ambalo litawavutia watalii na … Continue reading KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO KWA KUJENGA MAKUMBUSHO YA OLDUVAI GORGE
