NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga amewataka wananchi wanaozunguka hifadhi za misitu katika wilaya ya Kisarawe kuzingatia mipaka iliyowekwa pamoja na matumizi ya ardhi ili kuepuka migogoro inayoweza kujitokeza baina ya wananchi na serikali.Hasunga alisema jana kwenye ziara aliyoifanya alipotembelea Kiwanda cha Caoline, pamoja na msitu wa hifadhi Kazimzumbwi na Pugu.Alisema serikali haitakubali kuona maeneo ya hifadhi yanavamiwa ovyo na wananchi ama mifugo kuachiliwa bila utaratibu maalum.
“Kuna umuhimu mkubwa wa kukuza sekta ya utalii. Wataalii wengi wanapenda kuona misitu. Hii ni sehemu ya utalii,” alisema.Aliwataka Kisarawe kuangalia vivutio walivyonavyo ili kuboresha katika maeneo hayo kwa ajili ya kuvutia utalii.
Kwa upande wake Kaimu Meneja Misitu Kisarawe, Mathew Mwanuo alisema wilaya hiyo ina misitu minne ya hifadhi ya serikali Kuu ambayo ni Ruvu Kusini, Masanganya, Pugu na Kazimzumbwi.
Alisema msitu wa Kazimzumbwi umekuwa ukivamiwa mara kwa mara na watu kutoka maeneo mbalimbali hasa jijini Dar es Salaam.
“Msitu huu ulikuwa umevamiwa takriban theluthi tatu kwa kipindi cha kuanzia mwaka 1993 hadi 2014. Hata hivyo wavamizi hao waliendelea kuvamia kwa nyakati tofauti hadi mwaka huu,” alisema.Alisema walianza kuwaondoa mwishoni mwa Agosti mwaka huu, Kamati ya Ulinzi na Usalam ya wilaya ya Kisarawe kwa kushirikiana na maofis wa Wakala wa Huduma za misitu
Tanzania walianza kutembelea eneo la msitu kuangalia uvamizi na uharibifu uliofanyika katika Msitu wa Hifadhi wa Kazimzumbwi ikiwa ni pamoja na kuona ukubwa wa uharibifu na namna ya kutekeleza zoezi.




Related
Published by Mbilinyi-Wildlife
Conservation has always been a major part of my life. Growing up I revered leaders like famous oceanographer Jacques Cousteau and conservationist Jane Goodall, and I dreamed of becoming a swayful wildlife conservationist one day. Some of my fondest memories are of exploring the Amani forests with my college's friend, learning about both the awesome power of nature the threats to its well being.
I ultimately pursued a career in wildlife management at college of African wildlife management -Mweka and my friends too become a conservationists. Together, we founded Saviours of Wildlife with our slogan that Who pays for wildlife and who benefits?.
I recognize there are many conservation organizations doing incredible work on behalf of our planet and the many species who call it home.
I wanted to create an organization that complemented and collaborated with these organizations, so we chose to focus on protecting lesser-known endangered species.
My speech
If there’s one thing we know about life on Earth, it is that all of our diverse animals, plants, soil structures and waterways are interconnected in complex ways, many of which we cannot fully understand. In order to maintain ecological balance, we need to focus on all of the puzzle pieces–and this is becoming harder to do as we lose more and more species to climate change and human activity.
Saviors of wildlife focuses on lesser-known species because they are our early-warning signals for larger issues facing the ecosystem. For example, amphibians have a tremendous impact on their environment. They are not the face of environmental conservation in the same way as elephants,rhinoceros or gorillas, but because of their size and genetic makeup, these creatures are much more sensitive to climate change.
For example, saviour of wildlife is working to save amphibians, reptiles but also supporting efforts of conserving big wildlife like Rhino, giraffe and elephants through conservation education and capacity building to wildlife practititoners.
Saviours of wildlife is also working to save the world’s most endangered marine mammals. Only about 30% are left in the wild due to them becoming entangled in gill nets set for illegal fishing activities.The marine creatures are the most endangered Species.
Our planet is facing a biodiversity crisis. Last month , I was fortunate to share comment with Jane Goodall to discuss this critical issue. She reminded the word that she spoke to me 5 years ago “don’t forget, every single one of you makes a difference every single day.”
As we sit on the brink of losing thousands of more species, throwing our future into jeopardy, I am now asking you to make smart decisions .Please join us in reversing this crisis and making our collective future more secure contact
Brighton Mbilinyi, saviours of wildlife,college of African wildlife management.
brightonfrancis91@gmail.com +255756 525739
View all posts by Mbilinyi-Wildlife