SHEHENA YA MENO YA TEMBO YAKAMATWA MBEZI BEACH
Waziri wa Maliasli na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe amesema serikali imefanikiwa kukamata jumla ya meno ya tembo 28 katika ghala moja lililopo Mbezi Beach jijini Dar es salaam, yenye uzito wa takribani kilo 376.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Waziri Maghembe amesema meno hayo yaliyokamatwa tarehe 13 na 14 mwezi wa nane mwaka huu yanaonekana ni ya tembo waliouawa miaka ya nyuma ikikadiriwa kuuawa miaka ya 2013 au 2014 na wahalifu hao kuyaweka majumbani mwao huku wakiendelea kutafuta masoko.
Waziri Maghembe amesema tayari hadi hivi sasa watuhumiwa sita wa ujangili wameshakamtwa akiwemo Mohamedi Yahya Mohamed, almaarufu Mpemba, Aboubakar Zuberi Seguni mkazi wa Mbezi Beach ambaye pia ni mwenyekiti wa serikali za mtaa na imamu wa msikiti wa Huda uliopo Mbezi, Juma Saleh Jebo mkazi wa Manzese jijini Dar es salaam, Hamisi Rashid Omary mkazi wa Mbezi, Amir Bakari Shelukindo Mkazi wa Gairo Morogoro na Ahmed Shabani Bakari mkazi wa Mkuranga.
Wakati akiwataja watuhumiwa hao, Waziri Maghembe alisema vita dhidi ya ujangili ni ngumu kwa vile hata baadhi ya watu wasiotegemewa katika jamii kujihusisha nayo nao wamo, akitolea mfano wa mtuhumiwa, Bakari Zuberi Seguni mkazi wa Mbezi Beach ambaye pia ni mwenyekiti wa serikali za mtaa na imamu wa msikiti wa Huda uliopo Mbezi kuwa yeye ni mfano katika jamii kwa kuwa ni kiongozi wa kiserikali lakini pia ni mtu wa Mungu ambaye ni ngumu kufikiria ni miongoni mwa washirika wa biashara hiyo haramu.
Aliongeza kuwa, Tanzania kupitia Wizara yake inataka kufuta kabisa biashara ya meno ya tembo kama China walivyofanya licha ya kuwa uuzaji wa meno ya tembo kwa sasa mara baada ya kufuta soko la wazi imekuwa ikiendelea kwa njia ya mtandao
Katika hatua nyingine , Waziri Maghemba alipaza sauti kwa mataifa kama vile Vietnam na Thailand kuacha kujihusisha na biashara hiyo na kuiomba jumuiya ya Kimataifa kuingilia ili tembo waendelee kuwepo kwa faida ya kizazi kijacho na badae na dunia kwa ujumla.
Aidha, Waziri Maghembe amesema Tanzania na Dunia kwa ujumla imepata pigo kubwa baada ya kutokea kwa mauaji ya Mkurugenzi wa Palm Foundation, Wayne Lotter raia wa Afrika Kusini yaliyotokea usiku wa jana Masaki jijini Dar es Salaam kwa kuwa alikuwa mstari wa mbele katika kuisaidia serikali katika vita dhidi ya Ujangili.


Related
Published by Mbilinyi-Wildlife
Conservation has always been a major part of my life. Growing up I revered leaders like famous oceanographer Jacques Cousteau and conservationist Jane Goodall, and I dreamed of becoming a swayful wildlife conservationist one day. Some of my fondest memories are of exploring the Amani forests with my college's friend, learning about both the awesome power of nature the threats to its well being.
I ultimately pursued a career in wildlife management at college of African wildlife management -Mweka and my friends too become a conservationists. Together, we founded Saviours of Wildlife with our slogan that Who pays for wildlife and who benefits?.
I recognize there are many conservation organizations doing incredible work on behalf of our planet and the many species who call it home.
I wanted to create an organization that complemented and collaborated with these organizations, so we chose to focus on protecting lesser-known endangered species.
My speech
If there’s one thing we know about life on Earth, it is that all of our diverse animals, plants, soil structures and waterways are interconnected in complex ways, many of which we cannot fully understand. In order to maintain ecological balance, we need to focus on all of the puzzle pieces–and this is becoming harder to do as we lose more and more species to climate change and human activity.
Saviors of wildlife focuses on lesser-known species because they are our early-warning signals for larger issues facing the ecosystem. For example, amphibians have a tremendous impact on their environment. They are not the face of environmental conservation in the same way as elephants,rhinoceros or gorillas, but because of their size and genetic makeup, these creatures are much more sensitive to climate change.
For example, saviour of wildlife is working to save amphibians, reptiles but also supporting efforts of conserving big wildlife like Rhino, giraffe and elephants through conservation education and capacity building to wildlife practititoners.
Saviours of wildlife is also working to save the world’s most endangered marine mammals. Only about 30% are left in the wild due to them becoming entangled in gill nets set for illegal fishing activities.The marine creatures are the most endangered Species.
Our planet is facing a biodiversity crisis. Last month , I was fortunate to share comment with Jane Goodall to discuss this critical issue. She reminded the word that she spoke to me 5 years ago “don’t forget, every single one of you makes a difference every single day.”
As we sit on the brink of losing thousands of more species, throwing our future into jeopardy, I am now asking you to make smart decisions .Please join us in reversing this crisis and making our collective future more secure contact
Brighton Mbilinyi, saviours of wildlife,college of African wildlife management.
brightonfrancis91@gmail.com +255756 525739
View all posts by Mbilinyi-Wildlife
Patricia Mautner Absolut zu empfehlen!!! Gerechtfertigte Preise nicht überteuert. Keine lange Wartezeit, der Schlsseldient war sehr schnell da. Freundliches und kompetentes Team.
Anastasia Diemele Sie sind für uns die Nummer eins. Festpreis wurde uns am Telefon gesagt und auch an der Türe vor Ort gehalten. Vielen Dank auch für die sehr kurze Wartezeit und Ihr schnelles Tür öffnen :-)) Aufgrund der positiven Bewertungen haben wir Sie beauftragt und wurden nicht enttäuscht.äklar, dass Mitbewerber neidisch sind und Sie schlecht machen wollen. Aber ich kann grünes Licht geben. Sie sind ein absoluter Lichtblick in der Branche. Ich wünsche Ihnen und Ihrer Frau einen schönen Sommer noch. ….und viele viele Aufträge